Wabunifu  mitindo watatu walishiriki maonyesho ya mavazi London Fashion Week yaliyotayarishwa na shirika la British Council na kudhaminiwa na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Ubalozi wetu Uingereza.

Tanzania na Nigeria ndiyo nchi pekee za Kiafrika zilizong’arisha “jua” lake kati ya mataifa zaidi ya 25.

Filamu hii fupi iliyotayarishwa na Urban Pulse wakishirikiana na Freddy Macha inakupa taswira ya mambo yalivyokua.